Mazoezi ni muhimu kwa afya ya uzazi wa mwanamke

Mazoezi ya viungo husaidia wanawake kukabiliana na tatizo la ugumba, matatizo ya maumivu wakati wa hedhi, ukuaji wa mtoto na hata humsaidia mwanamke ajifungue kirahisi wakati wa kuzaa.

Upendo ndani ya familia husaidia katika afya ya akili ya mtoto

Akili yako ilijengwa tokea utoto,ndio maana ni lazima kuhakikisha mtoto analelewa katika hali ya upendo,nidhamu na adabu.hakuna malezi mazur kama yale ya kumfanya mtoto kuwa huru kujieleza na kujua ni lipi jema na lipi baya

Michezo shuleni husaidia kukuza taaluma ya mtoto

Michezo shuleni husaidia katika kukuza akili ya mtoto, afya pia humfanya mtoto kupenda shule, hivyo ni muhimu wazazi na walimu kuhakikisha watoto wanashiriki katika michezo

Mediation husaidia kupunguza msongo wa mawazo(stress)

Fanya mediation angalau kwa dakika 10 kila siku na itakusaidia kupunguza msongo wa mawazo, kutuliza akili, kukua kiroho na kupumzisha mwili wako

Mazoezi ya kukimbia husaidia kuondoa kitambi

mazoezi ya kukimbia ni mazoezi mazuri sana kwa kumpunguza uzito, mazoezi haya husaidia kuboresha kiwango cha metabolism, kuufanya mwili kuwa fiti, na kupunguza kiwango cha mafuta mwilini, hivyo kimbia mita kadhaa angalau mara tatu kwa wiki na utapata matokeo mazuri

F

F

Tuesday, 11 July 2017

NJIA ZA KUTAMBUA KAMA UNA UKE MPANA!

kuna wanawake wengi huwa wanashindwa kujua kama uke wao ni mpana au mdogo (mnato). sababu inayowapelekea kushindwa kuamua mazoezi ya kuufanyia uke wao. leo nitakuletea njia rahisi za kujua kama uke wako ni mpana au mnato.

UNATOPOWEZA KUINGIZA VIDOLE VYAKO VYOTE VITATU BILA SHIDA

kama unaweza kuingiza ukeni vidole vyako vyote vitatu bila tatizo basi hiyo ni dalili ya kuwa na uke mpana

KUTOKWA NA HAJA NDOGO BILA KUJITAMBUA

kutokwa na haja ndogo bila kujitambua pia ni dalili mojawapo ya uke mpana, haja ndogo hiyo hutoka kidogo bila mwanamke kutambua

MPENZI WAKO ANALALAMIKA KUHUSU UKE WAKO

kama mpenzi wako analalamika kuwa humlidhishi na kwamba uke wako ni mpana basi ujue una uke mpana

UNAFIKA KILELENI UKITUMIA VITU VYENYE MAUMBILE MAKUBWA

kama unafila kileleni pale tu unapotumia sex toy  kubwa au vitu venye umbo kubwa kufanya mapenzi basi ujue una tatizo la uke mpana

HULIDHIKI KITANDANI

kama hulidhiki kitandani na unapata shida sana kufika kileleni basi unaweza kuwa na tatizo la uke mpana